Kum. 13:17 Swahili Union Version (SUV)

Kisishikamane na mkono wako kitu cho chote katika kitu kilichoharimishwa; ili ageuke BWANA na ukali wa hasira zake akurehemu, akuonee huruma, na kukufanya kuwa wengi, kama alivyowaapia baba zako;

Kum. 13

Kum. 13:16-18