Kum. 1:39 Swahili Union Version (SUV)

Tena, wadogo wenu, mliosema watakuwa mateka, na wana wenu, wasiokuwa leo na maarifa ya mabaya wala mema, ndio watakaoingia, nao ndio nitakaowapa, nao wataimiliki.

Kum. 1

Kum. 1:38-46