4. ili niidhihirishe, kama inipasavyo kunena.
5. Enendeni kwa hekima mbele yao walio nje, mkiukomboa wakati.
6. Maneno yenu yawe na neema siku zote, yakikolea munyu, mpate kujua jinsi iwapasavyo kumjibu kila mtu.
7. Tikiko, ndugu mpendwa, mtumishi mwaminifu, mjoli wangu katika Bwana, atawaarifu mambo yangu yote;