Kol. 4:11 Swahili Union Version (SUV)

Na Yesu aitwaye Yusto; hao ni watu wa tohara. Tena hao peke yao ni watendaji wa kazi pamoja nami kwa ajili ya ufalme wa Mungu; nao walikuwa faraja kwangu.

Kol. 4

Kol. 4:7-15