Isa. 8:4 Swahili Union Version (SUV)

Kwa maana kabla mtoto huyo hajapata kujua kusema, Baba yangu, na Mama yangu, hazina za Dameski na mateka ya Samaria yatachukuliwa mbele ya mfalme wa Ashuru.

Isa. 8

Isa. 8:1-5