Isa. 66:24 Swahili Union Version (SUV)

Nao watatoka nje na kuitazama mizoga ya watu walioniasi; maana funza wao hatakufa, wala moto wao hautazimika nao watakuwa chukizo machoni pa wote wenye mwili.

Isa. 66

Isa. 66:21-24