Isa. 66:14 Swahili Union Version (SUV)

Nanyi mtaona, na mioyo yenu itafurahi, na mifupa yenu itasitawi kama majani mabichi; na mkono wa BWANA utajulikana, uwaelekeao watumishi wake, naye atawaonea adui zake ghadhabu.

Isa. 66

Isa. 66:10-19