Isa. 65:23 Swahili Union Version (SUV)

Hawatajitaabisha kwa kazi bure, wala hawatazaa kwa taabu; kwa sababu wao ni wazao wa hao waliobarikiwa na BWANA, na watoto wao pamoja nao.

Isa. 65

Isa. 65:17-25