Isa. 59:19 Swahili Union Version (SUV)

Basi, wataliogopa jina la BWANA toka magharibi, na utukufu wake toka maawio ya jua; maana yeye atakuja kama mkondo wa mto ufurikao, uendeshwao kwa pumzi ya BWANA.

Isa. 59

Isa. 59:10-20