Isa. 53:8 Swahili Union Version (SUV)

Kwa kuonewa na kuhukumiwa aliondolewa;Na maisha yake ni nani atakayeisimulia?Maana amekatiliwa mbali na nchi ya walio hai;Alipigwa kwa sababu ya makosa ya watu wangu.

Isa. 53

Isa. 53:7-12