Isa. 49:13 Swahili Union Version (SUV)

Imbeni, enyi mbingu; ufurahi, Ee nchi;Pazeni sauti ya kuimba, enyi milima;Kwa kuwa BWANA amewafariji watu wake,Naye atawahurumia watu wake walioteswa.

Isa. 49

Isa. 49:3-20