Isa. 44:9 Swahili Union Version (SUV)

Wachongao sanamu, wote ni ubatili; wala mambo yao yawapendezayo hayatafaa kitu; wala mashahidi wao wenyewe hawaoni, wala hawajui; ili watahayarike.

Isa. 44

Isa. 44:6-16