Isa. 44:16 Swahili Union Version (SUV)

Sehemu moja huiteketeza; kwa sehemu nyingine hula nyama; huoka chakula kiokwacho, akashiba; naam, huota moto, akasema, Aha, nimeota moto, nimeona moto;

Isa. 44

Isa. 44:11-26