Isa. 43:20 Swahili Union Version (SUV)

Wanyama wa kondeni wataniheshimu, mbweha pia na mbuni; kwa sababu nimewapa maji jangwani, na mito nyikani, ili kuwanywesha watu wangu, wateule wangu;

Isa. 43

Isa. 43:17-28