Isa. 40:22 Swahili Union Version (SUV)

Yeye ndiye anayeketi juu ya duara ya dunia, na hao wanaokaa ndani yake huwa kama panzi; yeye ndiye azitandazaye mbingu kama pazia na kuzikunjua kama hema ya kukaliwa;

Isa. 40

Isa. 40:13-24