Isa. 40:20 Swahili Union Version (SUV)

Yeye aliye maskini sana hata hawezi kutoa sadaka ya namna hii, huchagua mti usiooza, hujitafutia fundi mstadi wa kusimamisha sanamu ya kuchonga isiyoweza kutikisika.

Isa. 40

Isa. 40:13-29