Isa. 40:11 Swahili Union Version (SUV)

Atalilisha kundi lake kama mchungaji,Atawakusanya wana-kondoo mikononi mwake;Na kuwachukua kifuani mwake,Nao wanyonyeshao atawaongoza polepole.

Isa. 40

Isa. 40:3-14