Isa. 38:12 Swahili Union Version (SUV)

Kao langu limeondolewa kabisa,limechukuliwa kama hema ya mchungaji;Nimekunja maisha yangu kama mfumaji;atanikatilia mbali na kitanda cha mfumi;Tangu mchana hata usiku wanimaliza.

Isa. 38

Isa. 38:6-22