Isa. 37:6 Swahili Union Version (SUV)

Isaya akawaambia, Mwambieni bwana wenu maneno haya; BWANA asema hivi, Usiyaogope maneno uliyoyasikia, ambayo watumishi wa mfalme wa Ashuru wamenitukana.

Isa. 37

Isa. 37:1-14