Isa. 37:27 Swahili Union Version (SUV)

Ndiyo sababu wenyeji wao wakawa hawana nguvu, na kufadhaika, na kuhangaika, wakawa kama majani ya mashamba, kama miche mibichi, kama majani juu ya dari, kama shamba la ngano kabla haijaiva.

Isa. 37

Isa. 37:25-33