Isa. 37:2 Swahili Union Version (SUV)

Akamtuma Eliakimu aliyekuwa msimamizi wa nyumba yake na Shebna, mwandishi, na wazee wa makuhani, wamejivika nguo za magunia, waende kwa Isaya nabii, mwana wa Amozi.

Isa. 37

Isa. 37:1-5