Isa. 32:14 Swahili Union Version (SUV)

maana jumba la mfalme litaachwa; mji uliokuwa na watu wengi utakuwa hauna mtu; kilima na mnara utakuwa makao ya wanyama milele, furaha ya punda-mwitu, malisho ya makundi ya kondoo;

Isa. 32

Isa. 32:9-17