Isa. 30:17 Swahili Union Version (SUV)

Elfu moja watakimbia kwa kukemewa na mtu mmoja; kwa kukemewa na watano mtakimbia; hata mtakapoachwa kama mlingoti juu ya kilele cha mlima, na kama bendera juu ya kilima.

Isa. 30

Isa. 30:13-22