Isa. 28:18 Swahili Union Version (SUV)

Na agano lenu mliloagana na mauti litabatilika, tena mapatano yenu mliyopatana na kuzimu hayatasimama; pigo lifurikalo litakapopita, ndipo ninyi mtakapokanyagwa nalo.

Isa. 28

Isa. 28:14-27