Isa. 27:10 Swahili Union Version (SUV)

Kwa maana mji ulio na boma umekuwa peke yake, makao yaliyoachwa na ukiwa kama jangwa; huko ndiko atakakolisha ndama, na huko ndiko atakakolala, na kuyala matawi yake.

Isa. 27

Isa. 27:4-13