Isa. 19:18 Swahili Union Version (SUV)

Katika siku hiyo itakuwako miji mitano katika nchi ya Misri itumiayo lugha ya Kanaani, na kumwapia BWANA wa majeshi; mji mmoja utaitwa Mji wa uharibifu.

Isa. 19

Isa. 19:17-25