Isa. 17:9 Swahili Union Version (SUV)

Katika siku hiyo miji yake yenye maboma itakuwa kama mahali palipoachwa ndani ya mwitu, na juu ya kilele cha mlima, palipoachwa mbele ya wana wa Israeli; napo patakuwa ganjo.

Isa. 17

Isa. 17:8-13