Isa. 17:13 Swahili Union Version (SUV)

Mataifa wananguruma kama ngurumo ya maji mengi;Lakini atawakemea, nao watakimbia mbali sana,Watafukuzwa kama makapi milimani mbele ya upepo,Na kama mavumbi vuruvuru mbele ya tufani.

Isa. 17

Isa. 17:10-13