Isa. 16:5 Swahili Union Version (SUV)

Na kiti cha enzi kitafanywa imara kwa rehema; na mmoja ataketi juu yake katika kweli, katika hema ya Daudi; akifanya hukumu, akitaka sana yaliyo haki, mwepesi wa kutenda haki.

Isa. 16

Isa. 16:1-6