Isa. 14:24 Swahili Union Version (SUV)

BWANA wa majeshi ameapa, akisema, Hakika yangu kama vile vilivyoazimia, ndivyo itakavyokuwa; na kama nilivyokusudia, ndivyo itakavyotokea;

Isa. 14

Isa. 14:16-29