Hes. 9:3 Swahili Union Version (SUV)

Siku ya kumi na nne ya mwezi huu, wakati wa jioni, mtaishika kwa wakati wake ulioagizwa; kwa amri zake zote, na kama hukumu zake zote zilivyo, ndivyo mtakavyoishika.

Hes. 9

Hes. 9:1-13