Hes. 8:7 Swahili Union Version (SUV)

Nawe utawafanyia mambo haya ili kuwatakasa; nyunyiza juu yao maji yatakasayo dhambi, nao wajinyoe kwa wembe mwili wote, kisha wazifue nguo zao, na kujitakasa.

Hes. 8

Hes. 8:3-12