Hes. 6:9 Swahili Union Version (SUV)

Na kama mtu ye yote akifa ghafla karibu naye, akajitia unajisi kichwa cha kutengwa kwake, ndipo atakinyoa kichwa siku hiyo ya kutakaswa kwake, atakinyoa siku ya saba.

Hes. 6

Hes. 6:1-15