Hes. 4:37 Swahili Union Version (SUV)

Hao ndio waliohesabiwa katika jamaa za Wakohathi, wote waliotumika katika hema ya kukutania, ambao Musa na Haruni waliwahesabu kwa amri ya BWANA kwa mkono wa Musa.

Hes. 4

Hes. 4:34-42