Hes. 36:9 Swahili Union Version (SUV)

Hivyo hapatakuwa na urithi uwao wote utakaotoka kabila hii kwenda kabila hii; kwa kuwa kabila za wana wa Israeli zitashikamana kila mmoja na urithi wake mwenyewe.

Hes. 36

Hes. 36:5-13