Hes. 35:12 Swahili Union Version (SUV)

Na hiyo miji itakuwa kwenu kuwa makimbilio, kumkimbia mwenye kutwaa kisasi, ili asiuawe mwenye kumwua mtu, hata atakaposimama mbele ya mkutano ahukumiwe.

Hes. 35

Hes. 35:2-15