Hes. 34:18-23 Swahili Union Version (SUV)

18. Kisha mtamtwaa mkuu mmoja wa kila kabila, ili waigawanye nchi iwe urithi wenu.

19. Na majina ya watu hao ni haya; katika kabila ya Yuda, ni Kalebu mwana wa Yefune.

20. Na katika kabila ya wana wa Simeoni, Shemueli mwana wa Amihudi.

21. Katika kabila ya Benyamini, ni Elidadi mwana wa Kisloni.

22. Na katika kabila ya wana wa Dani, mkuu, Buki mwana wa Yogli.

23. Katika wana wa Yusufu; katika kabila ya wana wa Manase, mkuu, Hanieli mwana wa Efodi;

Hes. 34