Hes. 33:8 Swahili Union Version (SUV)

Wakasafiri kutoka hapo mbele ya Hahirothi, wakapita katikati ya bahari na kuingia jangwani; kisha wakaenda safari ya siku tatu katika nyika ya Ethamu, wakapanga Mara.

Hes. 33

Hes. 33:4-16