Hes. 33:41-47 Swahili Union Version (SUV)

41. Nao wakasafiri kutoka mlima wa Hori, wakapanga Salmona.

42. Wakasafiri kutoka Salmona, wakapanga Punoni.

43. Wakasafiri kutoka Punoni, wakapanga Obothi.

44. Wakasafiri kutoka Obothi, wakapanga Iye-abarimu, katika mpaka wa Moabu.

45. Wakasafiri kutoka Iye-abarimu, wakapanga Dibon-gadi.

46. Wakasafiri kutoka Dibon-gadi, wakapanga Almon-diblathaimu.

47. Wakasafiri kutoka Almon-diblathaimu, wakapanga katika milima ya Abarimu, kukabili Nebo.

Hes. 33