41. Nao wakasafiri kutoka mlima wa Hori, wakapanga Salmona.
42. Wakasafiri kutoka Salmona, wakapanga Punoni.
43. Wakasafiri kutoka Punoni, wakapanga Obothi.
44. Wakasafiri kutoka Obothi, wakapanga Iye-abarimu, katika mpaka wa Moabu.
45. Wakasafiri kutoka Iye-abarimu, wakapanga Dibon-gadi.
46. Wakasafiri kutoka Dibon-gadi, wakapanga Almon-diblathaimu.
47. Wakasafiri kutoka Almon-diblathaimu, wakapanga katika milima ya Abarimu, kukabili Nebo.