40. Ndipo Mkanaani, mfalme wa Aradi, aliyekaa pande za Negebu katika nchi ya Kanaani akasikia habari za kuja kwao wana wa Israeli.
41. Nao wakasafiri kutoka mlima wa Hori, wakapanga Salmona.
42. Wakasafiri kutoka Salmona, wakapanga Punoni.
43. Wakasafiri kutoka Punoni, wakapanga Obothi.