Hes. 33:19-27 Swahili Union Version (SUV)

19. Wakasafiri kutoka Rithma, wakapanga Rimon-peresi.

20. Wakasafiri kutoka Rimon-peresi, wakapanga Libna.

21. Wakasafiri kutoka Libna, wakapanga Risa.

22. Wakasafiri kutoka Risa, wakapanga Keheletha.

23. Wakasafiri kutoka Keheletha, wakapanga katika mlima wa Sheferi

24. Wakasafiri kutoka huo mlima wa Sheferi, wakapanga Harada.

25. Wakasafiri kutoka Harada, wakapanga Makelothi.

26. Wakasafiri kutoka Makelothi, wakapanga Tahathi.

27. Wakasafiri kutoka Tahathi wakapanga Tera.

Hes. 33