Hes. 33:18-32 Swahili Union Version (SUV)

18. Wakasafiri kutoka Haserothi, wakapanga Rithma.

19. Wakasafiri kutoka Rithma, wakapanga Rimon-peresi.

20. Wakasafiri kutoka Rimon-peresi, wakapanga Libna.

21. Wakasafiri kutoka Libna, wakapanga Risa.

22. Wakasafiri kutoka Risa, wakapanga Keheletha.

23. Wakasafiri kutoka Keheletha, wakapanga katika mlima wa Sheferi

24. Wakasafiri kutoka huo mlima wa Sheferi, wakapanga Harada.

25. Wakasafiri kutoka Harada, wakapanga Makelothi.

26. Wakasafiri kutoka Makelothi, wakapanga Tahathi.

27. Wakasafiri kutoka Tahathi wakapanga Tera.

28. Wakasafiri kutoka Tera, wakapanga Mithka.

29. Wakasafiri kutoka Mithka, wakapanga Hashmona.

30. Wakasafiri kutoka Hashmona, wakapanga Moserothi.

31. Wakasafiri kutoka Moserothi, wakapanga Bene-yakani.

32. Wakasafiri kutoka Bene-yakani, wakapanga Hor-hagidgadi.

Hes. 33