Hes. 33:15-23 Swahili Union Version (SUV)

15. Wakasafiri kutoka Refidimu, wakapanga katika nyika ya Sinai.

16. Wakasafiri kutoka nyika ya Sinai, wakapanga Kibroth-hataava.

17. Wakasafiri kutoka Kibroth-hataava, wakapanga Haserothi.

18. Wakasafiri kutoka Haserothi, wakapanga Rithma.

19. Wakasafiri kutoka Rithma, wakapanga Rimon-peresi.

20. Wakasafiri kutoka Rimon-peresi, wakapanga Libna.

21. Wakasafiri kutoka Libna, wakapanga Risa.

22. Wakasafiri kutoka Risa, wakapanga Keheletha.

23. Wakasafiri kutoka Keheletha, wakapanga katika mlima wa Sheferi

Hes. 33