14. Wakasafiri kutoka Alushi, wakapanga Refidimu, ambapo hapakuwa na maji ya watu kunywa.
15. Wakasafiri kutoka Refidimu, wakapanga katika nyika ya Sinai.
16. Wakasafiri kutoka nyika ya Sinai, wakapanga Kibroth-hataava.
17. Wakasafiri kutoka Kibroth-hataava, wakapanga Haserothi.
18. Wakasafiri kutoka Haserothi, wakapanga Rithma.
19. Wakasafiri kutoka Rithma, wakapanga Rimon-peresi.
20. Wakasafiri kutoka Rimon-peresi, wakapanga Libna.
21. Wakasafiri kutoka Libna, wakapanga Risa.
22. Wakasafiri kutoka Risa, wakapanga Keheletha.
23. Wakasafiri kutoka Keheletha, wakapanga katika mlima wa Sheferi