Hes. 2:24 Swahili Union Version (SUV)

Wote waliohesabiwa katika marago ya Efraimu walikuwa mia na nane elfu na mia moja, kwa majeshi yao. Nao ndio watakaosafiri katika mahali pa tatu.

Hes. 2

Hes. 2:19-30