Hes. 15:16-18 Swahili Union Version (SUV)

16. Itakuwa sheria moja na amri moja kwenu ninyi na kwa mgeni akaaye nanyi.

17. Kisha BWANA akanena na Musa, na kumwambia,

18. Nena na wana wa Israeli, uwaambie, Mtakapoingia nchi niwapelekayo,

Hes. 15