Hes. 14:9 Swahili Union Version (SUV)

Lakini msimwasi BWANA, wala msiwaogope wale wenyeji wa nchi, maana wao ni chakula kwetu; uvuli uliokuwa juu yao umeondolewa, naye BWANA yu pamoja nasi; msiwaogope.

Hes. 14

Hes. 14:1-15