4. Na majina yao ni haya; katika kabila ya Reubeni, Shamua mwana Zakuri.
5. Katika kabila ya Simeoni, Shafati mwana wa Hori.
6. Katika kabila ya Yuda, Kalebu mwana wa Yefune.
7. Katika kabila ya Isakari, Igali mwana wa Yusufu.
8. Katika kabila ya Efraimu, Hoshea mwana wa Nuni
9. Katika kabila ya Benyamini, Palti mwana wa Rafu.
10. Katika kabila ya Zabuloni, Gadieli mwana wa Sodi.
11. Katika kabila ya Yusufu, yaani, katika kabila ya Manase, Gadi mwana wa Susi.
12. Katika kabila ya Dani, Amieli mwana wa Gemali.
13. Katika kabila ya Asheri, Sethuri mwana wa Mikaeli.
14. Katika kabila ya Naftali, Nabi mwana wa Wofsi.