Hes. 13:3-8 Swahili Union Version (SUV)

3. Basi Musa akawatuma kutoka nyika ya Parani kama alivyoagizwa na BWANA; wote walikuwa ni watu walio vichwa vya wana wa Israeli.

4. Na majina yao ni haya; katika kabila ya Reubeni, Shamua mwana Zakuri.

5. Katika kabila ya Simeoni, Shafati mwana wa Hori.

6. Katika kabila ya Yuda, Kalebu mwana wa Yefune.

7. Katika kabila ya Isakari, Igali mwana wa Yusufu.

8. Katika kabila ya Efraimu, Hoshea mwana wa Nuni

Hes. 13