Hes. 12:8 Swahili Union Version (SUV)

Kwake nitanena mdomo kwa mdomo,Maana, waziwazi wala si kwa mafumbo;Na umbo la BWANA yeye ataliona.Mbona basi ninyi hamkuogopaKumnenea mtumishi wangu, huyo Musa?

Hes. 12

Hes. 12:6-15